RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

"GET TOGETHER PARTY" KUFANA LEO KATIKA  HOTELI YA ERICK SHIGONGO -"THE ATRIUMS"- SINZA AFRIKASANA-DAR

KIKAO CHA MALIZIKA JANA KUHUSU "PARTY YA GETHER TOGETHER"
Kutakuwa hakuna kiingilio kwa kila mtu atayefika mahali pale. Hii ni party inayowashirikisha watu wote wanaompenda Mungu na kutakuwa na uimbaji kutoka kwa waimbaji wa injili mbalimbali. 

Utapata muda wa kuonana na waimbaji wa nyimbo za injili, maproducer, mabloggers, watangazaji wa radio za injili, wachekeshaji, wajasiliamali, baadhi ya wachungaji. Mbali na kuona utwasikia nini wanakifanya katika sekta zao.

Pia kutakuwa na "SURPICE" ambayo itakufanya ubaki mdomo wazi na kutosahau hicho kitu kitakachotokea mahali hapo siku ya leo.

Party itaanza saa 12:00 jioni na hakuna kiingilio. Utapata chakula cha kutosha kutoka kwa wahudumu wa "The Atriums Hotel" kwa bei nafuu sana.

Party itakuwezesha wewe kufahamiana na watu na kuwezesha wewe kupata "Connection" na watu ambao ulikuwa huwajui. Kumbuka kuja na business card yako kwaajili ya kugawa mawasiliano kwa yule utayekutana naye.

Mimi nikutakie siku njema na usikose kuja na ngugu na jamaa zako !!!!!!!!

 Kamati ya maandalizi: Erick Brighton, Rulea Sanga, Lister, Kisaka, Noel Tenga, Boniface Magupa, Makondeko




Blogger, Rulea Sanga akitokelezea katika kikao

Comments