MUNGU MKUBWA AMTETEA PASTOR YOUCEF NADARKHANI SASA KUACHIWA HURU BAADA YA KUSHINDA KESI LEO WAPENDWA NWALIFUNGA NA KUOMBA DUNIANI KOTE KWA AJIRI YAKE
Mchungaji Youcef ambayo amekuwa kifungoni kwa zaidi ya miaka mitatu sasa kwa kosa la kuusaliti uislamu na kuwa mkristo hatimaye kuachiwa huru wakati wowote. Taarifa tulizozipata kutoka katika mahakama ilikofanyika hukumu hiyo leo zinaeleza kama ifuatavyo.
Tunamshukuru Mungu kwa kumuweka huru
ndugu yetu na
kujibu maombi yetu. Mchungaji Nadarkhani
Youcef imekuwa huru
na hakupatikana na hatia kutoka kwa
washitaki wake waliomshitaki wa evangelizing Muslims. ametakiwa kuwa gerezani kwa miaka mitatu lakini
adhabu hiyo tayari amesha itumikia. Amekuwa kifungo cha miaka 3 hivyo ataachiwa haraka sana. Tutawajuza wakati tutakapo kuwa na uthibitisho wa siku ya kuachiliwa kwake.
Pastor Youcef akiwa kizuizini |
Pastor Youcef akiwa na familia yake kabla ya kuwekwa kizuizini
Blog hii inaungana wa watu wote
walioomba na waliohusika kwanamna yoyote ile kumshukuru Mungu kwa hili
alilotenda awali mchungaji huyu alikuwa anakabiliwa na hukumu ya
kunyogwa sasa kama kaachiliwa huru tena katika nchi kama Irani kwanini
tusiseme yeye ni Ebenezer hata sasa amemsaidia Jina la Bwana libarikiwe.
habari ya kufanan ya jana kabla ya kesi http://www.martmalecela.blogspot.com/2012/09/unamkumbuka-mch-youcef-nadarkhani-kesho.html |
Comments