Masanja Mkandamizaji alipokuwa akihubiri mkutano jijini Mbeya hivi karibuni. |
Kati ya waimbaji watakaokuwepo katika uzinduzi huo ni pamoja na Annastazia Mkabwa a.k.a Kiatu kivue, Faraja Ntaboba, Christina Mbilinyi, Bubujiko Choir kutoka kaloleni pamoja na kwaya nyinginezo, huku tamasha likitarajiwa kuanza majira ya saa 6 na kumalizika saa 12 jioni kiingilio wakubwa 4,000 na watoto 2,000. Hii itakuwa mara ya pili kwa mwimbaji na mwigizaji huyo kuzindua DVD yake, kwani alishafanya hivyo huko mkoani Iringa mapema mwaka huu. Pia kwasasa ameanza kuandaa mikutano yake yenye lengo la kuwaleta watu kwa Mungu muhubiri akiwa niyeye mwenyewe na tayari amefanya mikutano miwili mwezi uliopita mikoa ya Mbeya na Iringa.
Comments