RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MARTHA MWAIPAJA NA CHRISTINA SHUSHO WAINGIA KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA AFRICA GOSPEL MUSIC AWARDS



Kwa Mara Ya Kwanza Tanzania imeingiza wanamuziki Wawili katika Kinyanganyiro Cha Africa Gospel Music Awards. Kwa Miaka Miwili Mfululizo Mwanamuziki Christina Shusho pekee ndiye aliyeingia Katika Kinyang'anyiro hicho ambapo mara zote 2 hakuweza kufanya Vizuri Mwaka huu Christina Shusho Pamoja na Martha Mwaipaja Wameingia Katika Kinyang'anyiro hicho.

Mwaka Jana Umoja Wa Bloggers Uliamua kumuombea Kura Christina Shusho kwa ajili ya Tuzo Hizo na Mwaka huu Media Za Kikristo Zitaungana Kwa ajili ya Kuwaombea Kura watanzania.



Namna ya Kupiga Kura
1. Click hapa...http://www.africagospelawards.com/nominations.html

2. Kisha Bonyeza Kitufe Chenye neno "Vote".

3. Utaingiza Email address yako.

4. Kisha utafuata maelekezo.

Mimi Nimesha Vote...Kazi Ni Kwako.


Thank you for voting on BallotBin!
Your vote has been recorded.

Your receipt number is: 430
The secret word for this receipt is: deduce
Please support our free service by visiting our sponsors.

You may not view the results of this bin

Comments