Kwa Mara Ya Kwanza Tanzania imeingiza wanamuziki Wawili katika Kinyanganyiro Cha Africa Gospel Music Awards. Kwa Miaka Miwili Mfululizo Mwanamuziki Christina Shusho pekee ndiye aliyeingia Katika Kinyang'anyiro hicho ambapo mara zote 2 hakuweza kufanya Vizuri Mwaka huu Christina Shusho Pamoja na Martha Mwaipaja Wameingia Katika Kinyang'anyiro hicho.
Mwaka Jana Umoja Wa Bloggers Uliamua kumuombea Kura Christina Shusho kwa ajili ya Tuzo Hizo na Mwaka huu Media Za Kikristo Zitaungana Kwa ajili ya Kuwaombea Kura watanzania.
Namna ya Kupiga Kura
1. Click hapa...http://www.africagospelawards.com/nominations.html
2. Kisha Bonyeza Kitufe Chenye neno "Vote".
3. Utaingiza Email address yako.
4. Kisha utafuata maelekezo.
Mimi Nimesha Vote...Kazi Ni Kwako.
Your receipt number is: 430 The secret word for this receipt is: deduce | Please support our free service by visiting our sponsors. |
Comments