Watu wengi wamekuwa wakifika katika kituo cha watoto yatima na kuwafariji hawa watoto na wengine wamekuwa wakitamani sana kuangalia katika mitandao lakini wakawa wanakosa.
Warra Nnko akiwa na watoto anaowalea
Kutokana na uhitaji huo wa watu kuona kinachoendelea katika kituo hicho ndipo Warra Nnko aliamua sasa kufungu blogu. Hii ni hatua nyingine na ni wazo zuri sana, watu wataona na pia itasaidia watu kuona na kujua ili waweze kumuunga mkono
Blogu inaenda kwa link hii www.shalomorphange.blogspot.com iliyotengezwa na Rumafrica +255 715 851523
Warra Nnko akiwa na watoto anaowalea
Kutokana na uhitaji huo wa watu kuona kinachoendelea katika kituo hicho ndipo Warra Nnko aliamua sasa kufungu blogu. Hii ni hatua nyingine na ni wazo zuri sana, watu wataona na pia itasaidia watu kuona na kujua ili waweze kumuunga mkono
Blogu inaenda kwa link hii www.shalomorphange.blogspot.com iliyotengezwa na Rumafrica +255 715 851523
Comments