Mwinjilisti Faith Mbatha ni mtumishi wa Mungu kutoka nchini ya Kenya. Mungu anamtumia kwa njia ya pekee sana, watu wengi wamekombolewa kwa kupitia huduma yake ya uimbaji na uinjilisti. Mbali na kufanya kazi ya Mungu nchini Kenya, Mungu ameweza kufika hata nje ya Kenya na watu wamekombolewa sana.
Rumafrica iko katika harakati za kumtafuta mwimbaji na mwinjilisti huyu kufanya naye mahojiano juu ya huduma yake.
Mchungaji Faith Mbatha
Mchungaji Faith Mbatha
Mchungaji Faith Mbatha
Mchungaji Faith Mbatha
Mchungaji Faith Mbatha
Comments