Baada ya watu kukosa sehemu za kumtukuza Mungu siku ya Ijumaa, HOPE ORGANISATION wamekuandalia siku maalum kila Ijumaa, watu wa Mungu wanakusanyika pamoja kwaajili ya kumtukuza Mungu kwa njia ya kusifu na kuabudu. Kuna mambo mengi yatakuwa wakizungumziwa kutoka kwa watu mbalimabali.
Tangazo limetengezwa na Rumafrica +255 715 851 523
Tangazo limetengezwa na Rumafrica +255 715 851 523
Comments