Mchungaji mtarajiwa Masanja Mkandamizaji baada ya kutua Bongo akitokea Marekani aliamua kuanzisha safari nyingine kuelekea Mbeya katika shughuli ya rafiki yake MC Chavala, ambaye kwa siku ya leo amekabidhiwa mchumba wake.
Kuna jambo ambalo ninajifunza kupitia mwimbaji na mchungaji mtarajiwa mwana wa Street Gospo Masanja Mkandamizaji, kwanza anaonyesha ni mtu mmoja anayependa sana kushirikiana na wenzake, ni mtu anayejishusha sana na kuishi maisha ya kawaida ukifananisha na mastaa wa kibongo, ana moyo wa upendo sana, ni mwenye huruma sana, ni mtu anayependa kuona mwingine anafanikiwa. Kumbuka ametoka Marekani na akaona haitakuwa vizuri kuona siku maalumu ya rafiki yake Mc Chavala inapotea pasipo yeye kuwepo, ndio maana akafunga safari mpaka Mbeya. Mungu azidi kumbariki na kumuongezea zaidi ya hivyo alivyonavyo.
Kuna jambo ambalo ninajifunza kupitia mwimbaji na mchungaji mtarajiwa mwana wa Street Gospo Masanja Mkandamizaji, kwanza anaonyesha ni mtu mmoja anayependa sana kushirikiana na wenzake, ni mtu anayejishusha sana na kuishi maisha ya kawaida ukifananisha na mastaa wa kibongo, ana moyo wa upendo sana, ni mwenye huruma sana, ni mtu anayependa kuona mwingine anafanikiwa. Kumbuka ametoka Marekani na akaona haitakuwa vizuri kuona siku maalumu ya rafiki yake Mc Chavala inapotea pasipo yeye kuwepo, ndio maana akafunga safari mpaka Mbeya. Mungu azidi kumbariki na kumuongezea zaidi ya hivyo alivyonavyo.
Hiki ni kituko...
Comments