Mess Jacob Chengula wa kabila la Kikinga mkoani Iringa ambaye makazi yake yako jijini Dar es Salaam, ameweza kutimiza ndoto yake ya kutunga wimbo wa kuiombea Tanzania amani na utulivu hasa kipindi cha uchanguzi wa Rais ambao unategemewa kufanyika hivi karibuni. Wimbo huu ukiusikiliza hakika utaweza kutambua kuwa Mess Jacob Chengula ni mzalendo na ni mtu mwenye kujituma katika kufanya kazi ya MUNGU na kulitumikia Taifa lake la Tanzania. Mbali na wimbo huu pia alishatoa albamu yake ya "MUNGU HABARIKI"
Mess Jacob Chengula
SIKILIZA HUU WIMBO WA MUNGU IBARIKI TANZANIA
Comments