Gazuko moja kati ya wanaharakati wa muziki wa Gospel Hip Hop, anaetamba na ngoma yake ya "Yesu Ni Bwana", Ametangaza rasmi leo kupitia ukurasa wake wa Facebook kwamba jumamosi hii ya tarehe 8/8/2015 ataachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa "Asante Sana".
Gazuko moja kati ya wanaharakati wa muziki wa Gospel Hip Hop, anaetamba na ngoma yake ya "Yesu Ni Bwana", Ametangaza rasmi leo kupitia ukurasa wake wa Facebook kwamba jumamosi hii ya tarehe 8/8/2015 ataachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa "Asante Sana".
Comments