RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

PRINCE ALIKUTWA NA UKIMWI MIEZI SITA KABLA KIFO CHAKE..ALIKATAA KUPATA TIBA KWA SABABU ALIAMINI MUNGU ATAMPONYA


Ripoti ya kwanza ya kifo cha mwanamuziki mkongwe wa Pop, Prince imeonesha kuwa mwanamuziki huyo alikuwa na virusi vya ukimwi.
Mtandao wa Daily Mail umesema kuwa staa huyo wa Purple Rain alikutwa na virusi vya Ukimwi miezi sita iliyopita baada ya hali kuwa mbaya japo aliambukizwa ugonjwa huo miaka ya 90.
Ripoti hiyo imedai kuwa Prince alikataa kutibiwa kwasababu alikuwa anaamini Mungu atamponya.
Vyanzo vya karibu na staa huyo vimedai kuwa alikuwa anajiandaa na kifo chake na alikuwa akitumia dawa za kutuliza maumivu, Polisi wamethibitisha kuwa alikutwa na dawa hizo hata baada ya kifo chake.
Staa huyo amefariki akiwa na umri wa miaka 57.