SIO KESHO NI LEO JUMATANO SIKU YA KUFUNGULIWA KWA NDANI YA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Unaweza ukawa unateseka sana bila kujua wapo watu wamtengwa na mwenyezi Mungu kukusaidia. Inawezeka ni huyo mchungaji wako au ni Bishop Dr. Gertrude Rwakatare. Jitahidi leo ujaribu muujiza wako Mlima wa Moto Mikocheni "B" saa 9 mchana
Comments