RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

SIO KESHO NI LEO JUMATANO SIKU YA KUFUNGULIWA KWA NDANI YA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"

Unaweza ukawa unateseka sana bila kujua wapo watu wamtengwa na mwenyezi Mungu kukusaidia. Inawezeka ni huyo mchungaji wako au ni Bishop Dr. Gertrude Rwakatare. Jitahidi leo ujaribu muujiza wako Mlima wa Moto Mikocheni "B" saa 9 mchana

Comments