RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

TUMAINI NJOLE AFANYA MAAJABU KATIKA IBADA YA JUMAPILI 17.04.2016 KATIKA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B" WENGI WASHANGAZWA

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Tanzania Tumaini Njole aliyealikwa katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" Assemblies of God linaloongozwa na Bishop Dr. Gertrude Rwakatare aliweza kufanya vitu ambavyo watu hawakutegemea kuona mwimbaji wa nyimbo za Injili ana nguvu za MUNGU kiasi hicho. Wengi watokwa na machozi huku wakimsikiliza vile ambavyo tunaamini Mungu alikuwa akimuongoza afanye. Ungana nami kuangalia clip hii



Comments