RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

UONGOZI WA CHAMUITA UNAKUOMBA KUKAMILISHA VILE VINAVYOHITAJIKA KATIKA VITAMBULISHO VIPYA VYA CHAMUITA 2016-2020



Uongozi wa CHAMUITA unakuomba wewe mwimbaji wa njyimbo za Injili Tanzania ambaye umejiunga na Chama Cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA) ambaye hujakamilisha na hujapata kitambulisho chako kipya cha mwaka 2016-2020, unaombwa kukamilisha taarifa zako na tuma kwa Katibu Muenezi CHAMUITA da Stella Joel, namba yake ipo kwenye kitambulisho hapo chini.

Tunachotaka kutoka kwako ni
1. Jina lako kamili
2. Mahali unapoishi au Box
3. Saini yako
4. Namba ya simu
5. Nafasi yako au cheo chako CHAMUITA

Mfano wa kitambulisho


Comments