BAADA YA KUTOKA MAREKANI MTOTO GETRUDE KAKARIBISHWA BUNGENI LEO, HIZI NDIO SENTENSI ZAKE
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Mtoto wa Kitanzania Getrude Clement mwenye umri wa miaka 16 kutoka Mwanza, alihutubia viongozi mbalimbali wa dunia kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa, New York Marekani kuhusu mabadiliko ya tabianchi.