RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MCHUNGAJI JOYCE JIMMY WA KANISA LA LIVING WATER CENTRE KUZIKWA LEO

Mchungaji Joyce Jimmy wa kanisa la Living Water Kawe Makuti tawi la Buza alifariki dunia tarehe 23/5/2015. Msiba huo umetokea Jumamosi asubuhi siku moja baada ya kujifungua kwa operation.Msiba uko Mbagala nyumbani kwake na mazishi yatafanyika leo 25/5/2016 katika makaburi ya Chang’ombe. Rumafrica na Hosanna Kwanza inawatakia Pole kanisa la Living Water Centre linaloongozwa na Apostle Onesmo Ndegi na familia nzima ya Mchungaji Joyce Jimmy.