Leo May 11 2016 Rais Magufuli ameingia tena kwenye headline ambapo taarifa zinasema mapema leo Rais Magufuli ametua nchini Uganda ikiwa ni safari yake ya pili kwenda nje tangu aingie madarakani.
Rais Magufuli amewasili nchini Uganda kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Yoweri Museveni kesho.
Rais wa Tanzania john Magufuli na Rais wa Uganda Yoweri Museveni
.
.
.
.
.
.