Hii taarifa imeripotiwa na BBC swahili ambapo imeeleza kuwa ndoa za kikatoliki zikifungwa zimefungwa pamoja na sharti hilo, viwango vya ndoa zinazovunjika zinaendelea kuongezeka na kufuatia hali hiyo, kanisa katoliki limeamua kuanzisha tuzo maalumu kwa wanandoa wakongwe zaidi kwa mwaka huu katika kanisa hilo.