RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

HISTORIA FUPI YA MUHAMMAD ALI

Muhammad Ali .

Muhammad Ali alikuwa bondia kwa sababu kuna mtu aliyemuibia baskeli yake. Alikuwa na umri wa miaka 12 wakati ule na alikuwa akiishi Louisville katika jimbo la Kentucky akijuilikana kwa jina la Cassius Mercellus Clay Jr.