RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MWIMBAJI WA GOSPO TANZANIA ESTER KIULA AZUNGUMZIA MASWALA YA MAHUSIANO NA BEN BONGE KATIKA KIPINDI CHA RUMAFRICA LETS TALK

Ester Kiula (kushoto) na Ben Bonge

Kuna mambo mengi yanwakumba vijana na hata wazee kuhusiana na mahusiano ya kimapenzi. Kuna wengi uchumba umevunjika na wengine ndoa zao kupangaranyika. Kila mtu ukimuuliza ana sababu zake lakini siku ya leo mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania Ester Kiula na Ben Bonge wa Rumafrica waliweza kukaa chini na kuyajadili, kila mtu kutokana na upeo wake. Tuwasikilize