VIDEO: WAZIRI MWAKYEMBE HAJAPENDEZWA NA KAULI ZA WAPINZANI NA KAAMUA KUYATOA YA MOYONI
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Google+
Email
Other Apps
Headlines za kutokea bungeni dodoma bado zinazidi kukufikia kwa wepesi zaidi kila kukicha, najua shauku ya wengi ni kuisubiria bajeti kuu ya mwaka 2016/2017 kusomwa hapo kesho June 8 2016. Lakini bado kuna mengi ya kuyajua yanayoendelea hivi sasa ikiwa ni pamoja na hii ya Waziri Harrison Mwakyembe.