June 30, 2016 Usiku wa kuamkia leo Julai Mosi, 2016, ilikuwa siku ye furaha kwa Bi.Happness Daniel Kulola (kushoto), ambapo ilikuwa ni siku ya sherehe yake ya “Send Off” iliyotoa fursa kwa Wazazi,Walezi, ndugu jamaa na marafiki zake kujumuika pamoja Jijini Mwanza na kumuaga rasmi kabla ya kufunga pingu za maisha.
Happyness anatarajia kufunga pingu za maisha na mchumba wake, Richard Jeremia, leo jumapili Julai 03,2016 katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, chini ya Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola.
Happiness Daiel Kulola Akiingia Ukumbini
Kaka akimleta dada
Shangwe
Brother John Kulia, naye alikuwepo tukioni
Ufunguaji wa shampeni somtimes unahitaji Mbwembwe
Keki ikienda kwa wazazi
Mchungaji Daniel Moses Kulola akifanya maombi
Happy akiwa na Mume Mtarajiwa
Picha zote kwa hisani ya Sunday Shomari.