MHESHIMIWA DKT. MARY MWANJELWA AWAOMBA WATANZANIA KULIOMBEA TAIFA KATIKA IBADA YA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"
Mheshimiwa Dkt. Mary Mwanjelwa akiwa katika ibada ya Mlima wa Moto Mikocheni "B" kwa Bishop Dr. Gertredu Rwakatare aliweza kumshukuru Mungu kwa matendo makuu anayotendewa katika maisha yake, pia aliwaomba waamini wa kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" na Watanzania wote kumuombea Rais wa Jamuhuri ya Tanzania Mh. John Pombe Magufuli pamoja na Taifa zima kwa ujumla kuwa na amani pamoja na upendo
Mbali na hapo pia aliweza kumshukuru Bishop Dr. Gertrude Rwakatare kwa huduma aliyo nayo na anavyojituma kulitumikia Taifa la Tanzania na kuliombea
Mh. Mary Mwanjelwa(kulia) na Bishop Dr. Gertrude Rwakatare (kushoto)
Mh. Mary Mwanjelwa
Mh. Mary Mwanjelwa akielekea sehemu yake ya kukaa baada ya kumshukuru Mungu
Mh. Mary Mwanjelwa ( kulia ) Mch. Prisca (kushoto )