RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

18.09.2016: MLIMA WA MOTO MIKOCHENI “B”: BISHOP DR. GERTRUDE RWAKATARE- MPO WENGI LAKINI MUNGU AMEKUCHAGUA WEWE

“Mpo wengi kwenye jamii lakini wewe umependwa na Mungu amekuchagua kati ya wengi. Mungu akakuokoa, akasema unafaa kuingia mbinguni, tunakila sababu ya kumshukuru Mungu, tumpe nini Mungu kwa upendo aliotupa, si kwa sababu unapesa, si kwa sababu wewe ni mzuri sana ni kwa neema tu Mungu ametuhurumia. Tumshukuru Mungu kwa uaminifu wake, tumshukuru Mungu kwa wokovu, tumshukuru Mungu kwa kutuchagua kuwa wateuli wake kwa ajili yake Mungu.”

Hivi ndivyo alivyosema mtumishi wa Mungu (Super Woman, Mtakatifu Mwenye Heri kama wadau wanavyomuita kwa sasa, Bishop Dr. Gertrude Rwakatare siku ya Jumapili 18.09.2016 katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni “B”. Unakaribishwa ibada ya Jumapili saa 3 asubuhi