Baadhi ya watuhumiwa wa uhalifu wa makosa mbalimbali wakitoka kizimbani huku wakikwepa kamera ya paparazi wetu.
Mtuhumiwa akisindikizwa na askari wa Magereza baada ya kusomewa mashtaka yanayomkabili.
MTANDAO wetu leo ulitembelea Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam ambapo, miongoni mwa mambo mengine, ilijionea shughuli za mahakama hiyo zinavyoendeshwa na pia kupata fursa ya kunasa picha za baadhi ya watuhumiwa kadhaa waliokuwa wamefikishwa mahakamani hapo kukabili mashtaka yanayotokana na tuhuma mbalimbali.