23.10.2016: MZEE WA KANISA MAMA MWAKITALU NA BISHOP DR. GERTRUDE RWAKATARE WAKIOMBEWA SIKU YA JUMAPILI
Siku ya Jumapili 28.10.2016 wachungaji, wainjilisti, wazee wa kanisani na waumini wote waliofika katika ibada ya kushiriki meza ya Bwana waliweza kuwaombea watumishi wa Mungu, Bishop Dr. Gertrude Rwakatare na Mzee wa kanisa Mama Mwakitalu
Mzee wa kanisa Mama Mwakitalu akiwa amezungukwa na wazee wa kanisa na wachungaji wakimuombea
Mzee wa kanisa Mama Mwakitalu na mume wake baada ya maombezi