RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

ASKOFU ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI 25.09.2016 KATIKA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"

Askofu ambaye Rumafrica haikubahatika kupata jina lake aliweza kufika katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" jijini Dar es Salaam kwa Bishop Dr. Gertrude Rwakatare katika ibada ya Jumapili 25.09.2016 na kushiriki Neno la MUngu lililohubiriwa siku hiyo
 Kushoto ni Bishop Dr. Gertrude Rwakatare na mgeni wake