Askofu ambaye Rumafrica haikubahatika kupata jina lake aliweza kufika katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" jijini Dar es Salaam kwa Bishop Dr. Gertrude Rwakatare katika ibada ya Jumapili 25.09.2016 na kushiriki Neno la MUngu lililohubiriwa siku hiyo
Kushoto ni Bishop Dr. Gertrude Rwakatare na mgeni wake