RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MAMBO 7 YANAYOPELEKEA WATU WENGI KUYAOGOPA MAHUSIANO.


1. Hofu ya kupoteza uasili wake binafsi. 
2. Hofu ya kukataliwa. 
3. Uzoefu duni wa zamani. 
Inajulikana kuwa hivyo ulivyo leo (utu na tabia) ni matokeo ya matukio mbalimbali uliyoyapitia tangu ukiwa mtoto. Ndio maana linapotokea jambo ambalo linahitaji maamuzi yako unalihukumu kwa kuhusianisha na uzoefu wa mambo uliyopitia hapo zamani 
4. Hofu ya kutodumu kwa mahusiano hayo. 


5. Uhusiano mpya huathiri wa zamani. 
6. Upendo huwa hauwasili peke yake. 
Upendo unapoingia maishani mwako huwa hauji peke yake, huja na majukumu, muda mwingi na haja ya nafasi kwa wapendwa wako. 
7. Matarajio yasiyo ya kweli.