RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

BANGO LA HARUSI YA DANIEL AMIR SANGA NA VERONICA ILIYOFANYIKA JUMAMOSI 19.11.2016 MAFINGA

Bango la kupigia picha lililotumika katika harusi ya Daniel Sanga (mtoto wa kwanza wa marehemu SHOTI - Amir Lanzon Sanga) na Veronica siku ya Jumamosi 19.11.2016 katika Kanisa la Lutherani Mafinga na sherehe ilifanyika katika ukumbi wa CF Mafinga-Iringa. Ilihudhuriwa na watu zaidi ya 600. Bango limetengezwa na Rumafrica +255 625 520 275