RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

WAZIRI MAHIGA AZUNGUMZA NA WADAU WA MAENDELEO KUTOKA NCHI ZA NORDIC NA UJUMBE WA UMOJA WA MATAIFA TANZANIA.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifafanua jambo kwenye Mkutano na Wadau wa Maendeleo kutoka nchi za Nordic uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Nchi za Nordic zinatoa mchango mkubwa katika shughuli mbalimbali za maendeleo nchini ikiwemo kilimo na miradi ya maji. Nordic inaundwa na Nchi tano ambazo ni Norway, Finland, Iceland,Sweden na Denmark. 
Mkutano ukiendelea 
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Bw.Alvaro Rodrigues akizungumza wakati wa mkutano 
Mwakilishi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Norway Bi. Sive Cathrine Moe akizigumza wakati wa mkutano 
Baadhi ya Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje wakifuatilia Mkutano. 
Mhe. Waziri Balozi Dkt. Augustine Mahiga akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano