ZIARA YA MAKONDA ILALA, CHANIKA KWAWAKA, MWENYEKITI WA MTAA ASWEKWA KITUO CHA POLISI KWA TUHUMA ZA KUUZA VIWANJA CHANIKA
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Zavala, Buyuni wilayani Ilala, Chiku Mwalufamba, akiwa chini ya ulinzi wa Polisi wa kike wakati akimpeleka kwenye Kituo cha Polisi cha Chanika, baada ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutoa amri ya Mwenyekiti huyo wa mtaa kushindwa kutoa maelezo ya kuridhirisha dhidi ya thuhuma za kuuza viwanja vya umma kiyume cha sheria, zilizotolewa na baadhi ya wananchi katika mkutao wa hadhara alioanya Makonda kweye viwaja vya Kituo cha Polisi cha Chanika, akiwa katika ziara ya kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za wananchi, wilayani ilala, leo.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Zavala, Buyuni wilayani Ilala, Chiku Mwalufamba, akingizwa kweye gari la Polisi chini ya ulinzi,
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Zavala, Buyuni wilayani Ilala, Chiku Mwalufamba, akiwa katika gari la Polisi akati wakati akimpeleka kwenye Kituo cha Polisi cha Chanika.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alianzia ziara yake kwa kukagua uendeshaji wa Kiwanda wa cha tambi cha TanzaniaPasta, kilichopo eneo la Viwanda, Vingunguti wilayani Ilala. akizungungumza alipongeza hatua ya kuanzishwa kiwanda hicho akisema kinachangia lengo la Rais John Magufuli la kutaka Tanzania ijayo kuwa ya viwanda kwa lengo la kukuza nakuimarisha uchumi wa Taifa.
Hata hivyo aliutaka uongozi wa Kiwanda hicho kuhakikisha kinatimiza masharti ya utunzaji mazingira ikiwa ni pamoja na kutotiririsha maji hovyo, na pia kuhakikisha wananchi waliokusudiwa kulipwa ili kuondoka karibu na kiwanda wanafanyiwa hivyo mapema. Pia aliwaasa wananchi kusisitiza watoto wao kusoma masomo ya sayansi kwa kuwa kazi nyingi za viwandani zinafanywa na masomi wa somo hilo, na kwamba vinginevyo atakaoajiriwa bila kuwa na elimu ya sayansi watabaki kuwa waokota maboksi.
Uongozi wa Kiwanda ukimtembeza makonda katika maeneo mbalimbali ya kiwanda. Kushoto ni Katibu Tawala wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo.
Uongozi wa Kiwanda ukimtembeza makonda katika maeneo mbalimbali ya kiwanda. Kushoto ni Katibu Tawala wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo.
Meneja uzalishaji wa kiwanda cha Tanzania Pasta Industries Limited, Imran Ul Rashid akiyooshamkono kumumpa maelezo Makonda iyekuwa akikagua shughuli za kiwanda hicho
Meneja uzalishaji wa kiwanda cha Tanzania Pasta Industries Limited, Imran Ul Rashid akiyooshamkono kumumpa maelezo Makonda iyekuwa akikagua shughuli za kiwanda hicho
Uongozi wa Kiwanda ukimtembeza makonda katika maeneo mbalimbali ya kiwanda. Kushoto ni Katibu Tawala wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo.
Makonda akionyeshwa maboksi ya tambi
Baadhi ya ananchi wakiwa kwenye barabara ya Segerea Bonyokwa ambayo ipo katika kujengwa kwa kiwango cha lami
DARAJA LA LINALOUNGANISHA BONYOKWA NA KINYEREZI
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alikagua pia ujenzi wa daraja linalounganisha Bonyokwa na Kinyerezi wilayani Ilala, ambalo ujnezi wake umekuwa ukisua sua kukamilika. Makonda ameiagiza kampuni inayofanya ujenzi huo kuhakikisha unakamilika baadaya siku 25 kuanzia leo. Vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa dhidi ya kampuni hiyo ya Alex, ikiwemo kutopewa kazi yoyote mkoani Dar es Salaam.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza baada ya kukagua soko la Kelezange lililopo Kivule ambalo linakabiliwa na mgogoro wa kuuzwa baadhi ya maeneo yao
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wananchi katika eneo la Ukonga, akiwa katika ziara hiyo. Aliwataka wananchi kwenda katika masoko maalum yaliyopangwa na kuacha kufanya biashara barabarani.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza baada ya kuzindua nyumba vya madarasa katika shule ya Msingi Maghorofani, Ukonga
Baadhi ya waandishi mahiri wa habari waliopo kwenye ziara ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. P