RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MTANGAZAJI WA PRAISE POWER RADIO 99.3FM JUDITH NJOLE AWASHUKURU KUSHIRIKI SIKU YA KUZALIWA KWA

Siku ya 18.02.2017 Judith Njole aliweza kusherekea siku yake ya kuzaliwa . Sherehe hii ilifanyika katika ukumbi wa Sunsiloh Mugabe na kuhudhiriwa na watu wengi sana wakiwemo waimbaji wa nyimbo za Injili na watangazaji wa vituo vya luninga kama vile Bony Magupa wa Channel Ten.