Baada ya kuapishwa, Waziri Mwakyembe wanahabari walimuuliza kuhusu ripoti ya Kamati iliyoundwa na aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye kuchumguza ishu ya Clouds Media kuvamiwa, haya ndio yalikuwa majibu yake……..
>>>’Ninachokijua kuhusu tukio la Clouds Media kinatokana na vyombo vya habari, sidhani kama taarifa hizo zinatosha mimi kutoa uamuzi’ – Mwakyembe
Bonyeza play hapa chini kuitazama