05.07.2017: BISHOP DUNSTAN MABOYA AWAOMBEA WATU WENYE MAGONJWA MBALIMBALI NA WAPOKEA UPONYAJI KATIKA SEMINA - MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"
Watu walijitoa kutoa sadaka zao kwaajili wagonjwa mbalimbali kama wanavyooshwa kwenye picha hapo chini. Bishop Dunstan Maboya alipata maono haya ya kuwaombea waliotoa sadaka zao kwaajili ya wagonjwa siku ya Jumatano 05.07.2017 katika semina ya MID YEAR CROSS OVER inayoendelea katika kanisa la Mlima wa Moto Mikcheni “B” kuanzia saa 9 alasiri hadi saa 1 usiku. Wagonjwa baada ya kuombewa walishuhudia kwa vinywa vyao kuwa Yesu amewaponya baada ya kuombewa. Sadaka hiyo aliita CHAPATI. Siku ya Jumapili 09.07.2017 semina itahitimishwa, na Jumapili itaanza saa 3 asubuhi hadi saa 8 mchana. Usikose, BWANA ana mpango na wewe. AMINI Yesu atakugusa na wewe....
Bishop Dunstan Maboya akiwa na wagonjwa
Bisho Dunstan Maboya akiongea na wagonjwa
Waliojitolea kutoa sadaka kwaajili ya wagonjwa
Dada aliyepona kansa ya matiti
Comments