RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

05.07.2017: FURAHA ISAYA AKITABIRIWA NA MCH. DANIEL KALEGE KUTOKA UGANGA KATIKA SEMINA YA NID YEAR CROSS OVER- MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"

Furaha Isaya wa kanisa la Mlima wa Moto Mikcheni "B" akitabiriwa na Mch. Daniel Kalenge kutoka Uganga siku ya Jumatano 05.07.2017 latika semina ya MID YEAR CROSS OVER 2017 ndani ya kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B". Semina hii itamalizika siku ya Jumapili 09.07.2017, na siku hiyo semina itaanza saa 3 asubuhi hadi saa 8 mchana...USIKOSE, maana siku hiyo Bishop Gertrude Rwakatare akishirikiana na Bishop Dunstan Maboya, MCh. Daniel Kalenge na jopo la wachungaji watakuombea juu ya maisha yako...USIKOSE









Comments