RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

Neema Guillaine Mudosa: TUACHE KUWEKA MAKABILA KATIKA HUDUMA



Kama hutaki kufanya huduma na mtu asie kuwa wa kwenu au wa kabila lako, basi jenga yako mbingu pia. Ukabila wa nini?Hata kama ungeachiwa dunia hii uimbe mwenyewe Hutoweza.ndio maana Mungu akawaita wengi maana yeye sio wa kabila lako.Huwezi fanyikiwa kwa kuwa wekea wengine mawe njiani.,alie itwa na Mungu haangushwi ki rahisi rahisi hivo.Ni kama maji ya mto huwezi kuya zuiya maji.Ukifunga magaribi Mungu ata fungua mashariki,ukifunga kusini kaskazini ni ya Mungu pia .#HUWEZI Unapo sema mziki wenu ume vamiwa una mziki wewe ? na kama unao muulize SHETANI😂😂😂😂😂MUNGU ana watu kwa kweli uuuuuh,WAIMBAJI SHIKAMONI munatisha sana🙏🙏🙏🙏🙏

Comments