RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

06.08.2017: MH. BISHOP DR. GERTRUDE RWAKATARE AKIMUOMBEA MAMA MWENYE SHIDA YA KUPATA CHOO KWA WIKI NZIMA



Shalom..Mama huyu alifika katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" katika maombi ya.....yaliyofanyika siku ya Jumapili 06.08.2017 kwaajili ya kuombewa.Mama huyu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la choo, kwa wiki nzima hajapata choo. Mh. Bishop Dr. Gertrude Rwakatare, Mch. Noah Lukumay na waumini wa kanisa hili waliweza kumuombea. Wakati wa kuombewa mama huyu aliguswa na nguvu za Mungu na akajikuta anaanguka chini bila ya kuguswa. Yupo Mungu katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B"

06.08.2017: MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B": MAOMBEZI

Yawezekana na una tatizo la kupata choo kwa muda mrefu, nataka nikwambie kuwa Yesu anaweza kukuponya. Karibu Mlima wa Moto Mikocheni "B" Jumapili hii saa 3 asubuhi hadi saa 8 mchana.




Usafiri ni bure kuanzia kituo cha mabasi cha Makumbusho au Mwenge kwenye mataa barabara ya Coca Cola. Baada ya ibada utarudishwa kituoni

Comments