Rulea Sanga
Unajua kila kitu hapa duniani kina mwanzo na mwisho kwahiyo hicho unachofanya ujue kuna mwisho wake, sasa angalia mwisho wake kama utakusaidia au utakufanya ujilaumu kwa ule muda uliokuwa unaupoteza kwa kufanya kitu usichokipenda.
Kama mtu atakushauri kufanya kitu usichokipenda, na ukaona yeye amefanikiwa kupitia hicho usichokipenda kukifanya, muulize Mungu akupe hekima na maamuzi sasa ili baadae usijijutie..Mungu ni mwema atakupa majibu sahihi kwa wakati sahihi...
Usikate tamaan kumuulize Mungu akupe kile unachotaka kukifanya ili ufanye kwa kupenda na ufanya kwa bidii zako zote ...Kithamini unachopenda kukifanya na ili kikuthamini hapo baadae... "Mungu ni mwenye huruma"
Comments