MZEE Kiula, muumini wa kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" Mzee Kiula ambaye alishawahi kuwa kiongozi mkubwa katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, siku ya Jumapili 04.02.2018 katika ibada ya UREJESHO iliyofanyika katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" aligusa mioyo ya watu kwa ujumbe mzito ambao leo nimekuandalia kupitia link hii hapa, bonyeza umsikie akiongea kuhusu DHAMBI YA UASI: http://rumaafrica.blogspot.com/2018/02/04022018-video-mzee-kiula-aliwahi-kuwa.html
Mzee Kiula
Comments