RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MUNGU AMEKUWA MWEMA KWA VOCALIST WA GLORIOUS CELEBRATION MERCY DENIS


 Bwana Harusi Victor Sosthenes Langula akiwa na Mke wake Mercy Denis ndani ya Pozz la Harusi

 Maids wakiwa na Pozz na Bibi Harusi Ndani Ya Pozz Matata
 Badala ya Kugonga Menu walikuwa wanapiga picha,
 Mwanamke Pozz bana hasa ukiwa nalo
Mc Wa Shughuli hiyo Papaa Ze Blogger akiwa Kikazi Zaidi
-------------------------------
Mwanadada anayetamba na Vocal ya Ukweli kutoka Kundi la Glorious Band ambaye ni Mtoto wa Bishop Peter Denis jumamosi ya Wiki Hii alifunga Pingu za Maisha na Mtoto Wa Mchungaji anayekwenda kwa jina la Victor Langula.

Harusi hiyo iliyohudhuriwa na mamia ya Wakazi wa Dar, Pwani na Morogoro ilifungwa katika Kanisa la E.A.G.T Jangwani maarufu kama  Mito Ya Baraka na Kisha Sherehe kufanyika katika Ukumbi wa Msasani Beach Club Ukumbi wa Makuti.

Blog Yetu ilikuwepo Ukumbini kuhakikisha mambo yanakwenda sawia.

Source: Sam Sasali

THANKS BRO..!!

Comments