FAMILIA YA KAKA YANGU
MCHUNGAJI BURTON SANGA
Jannet Sanga mtoto wa nne
Kulia ni mke wa kaka yangu Mchungaji Burtoni Sanga akifuatiwa na mtoto wake wa kwanza,Judith Sanga, wakiwa Coco beach Dar es Salaam
Rulea sanga kushoto nikiwa na shemeji yangu pamoja na mtoto wa kaka yangu Burton sanga maeneo ya Coco Beach Dar
Jessica Sanga akiwa katika pozi
Judith Sanga akiwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam 6 Sept 2012
Judith Sanga akiwa na mdogo wake Jannet Sanga
Judith Sanga kushoto akiwa ndani ya uwanja wa Taifa wakati wa mashindano ya riadha
Jannet Sanga akiwa nyumbani
Wakiwa uwanja wa Taifa
Mapumziko
Shemeji yangu akiwa na wanae Bahari ya Hindi Coco Beach Dar
----------------------------------------------------
FURAHA SANGA AMSHUKURU MUNGU KWA KUMUWEZESHA KUMALIZA MASOMO YAKE UDOM. UNIVERSITY STUDENT CHRISTINA FELLOWSHIP (USCF) WALIANDAA HAFLA YA KUANGANA.
Kulia ni mke wa kaka yangu Mchungaji Burtoni Sanga akifuatiwa na mtoto wake wa kwanza,Judith Sanga, wakiwa Coco beach Dar es Salaam
Rulea sanga kushoto nikiwa na shemeji yangu pamoja na mtoto wa kaka yangu Burton sanga maeneo ya Coco Beach Dar
Jessica Sanga akiwa katika pozi
Judith Sanga akiwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam 6 Sept 2012
Judith Sanga akiwa na mdogo wake Jannet Sanga
Judith Sanga kushoto akiwa ndani ya uwanja wa Taifa wakati wa mashindano ya riadha
Jannet Sanga akiwa nyumbani
Wakiwa uwanja wa Taifa
Mapumziko
Shemeji yangu akiwa na wanae Bahari ya Hindi Coco Beach Dar
----------------------------------------------------
FURAHA SANGA AMSHUKURU MUNGU KWA KUMUWEZESHA KUMALIZA MASOMO YAKE UDOM. UNIVERSITY STUDENT CHRISTINA FELLOWSHIP (USCF) WALIANDAA HAFLA YA KUANGANA.
Baada ya kipindi chake kuisha cha kuishi katika mazingira ya UDOM,
wanafunzi walifanya mahafali ya kuagana na maisha ya chuo na kuanza maisha mengine
mapya. USCF ni kikundi kinachojumuisha wanafunzi wanaomwamini Mungu.
USCF kimekusanya madhehebu yote ya kikristo isipokuwa Roman Katoliki na
Wasabato. Lengo lao kuu ni kumtangaza kristo na kuishi maisha ya
kumpendeza Mungu wakati wote.
Furaha
akiongea na blogger, Rulea Sanga nyumbani kwake alisema, Mungu amekuwa
msaada mkubwa sana katika masomo yake na kumtia nguvu alipokuwa
anapitia magumu. Furaha ni mtoto wa marehemu Amir Sanga aliyefariki
mwaka jana wakati Furaha akiwa mwaka wa pili, anasema kilikuwa kipindi
kigumu sana kwake, lakini Mungu alionekana kumtetea.
Amewashukuru
wenzake ambao walishirikiana nao katika masomo na kutiana moyo na pia
aliwashukuru sana ndugu zake wote kwa upendo walionao.
Pia
alimshukuru Baba yake mdogo, Rulea Sanga kwa mchango wake wa mawazo na
kumfariji wakati wa msiba wa baba yake uliotokea Iringa Mafinga.
Furaha Sanga
Furaha kulia akiwa na marafiki zake
Wanachuo
Furaha akiwa na ndugu zake ambao wako mwaka wa pili UDOM
Zawadi kutoka kwa ndugu yake
Comments