RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION



WANAMEREMETA
ALLAN LUCKY a.k.a SKONGA 
NA HAIKA SAMWELI 
Mtangazaji wa East Africa TV Bw. Allan Lucky Komba ambaye pia ni Rais wa wanafunzi a.k.a SKONGA akila kiapo cha ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki hii katika ukumbi wa The Stalion jijini Dar es Salaam.
Bwana Harusi akimvisha pete mkewe.
Sasa ni mwili mmoja.
Maharusi wakikata Cake. Kwa picha zaidi

Comments