RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

TANZANIA GOSPEL TEAM KUIBUA USHINDI BAADA YA KUITWANGA TIMU YA WAZO  4-3 

Mechi ilimechezwa leo katika uwanja wa Shule ya Kentoni Sinza Afrikasana. Timu zilionekana kuwa tishio uwanjani. Baada ya kipindi cah pili, fujo zikatokea uwanjani, mpira ulisimamihwa kwa kipindi kifupi na baadae mchezo ukaendelea. 

Mpiga picha, Rulea alichelewa kufika uwanjani mapema na hii imesababisha kutopata picha za pamoja za wachezaji....Tuanwaomba radhi wadau wetu wa Tanzania Gospel Team na wa Blogu yetu

Timu ya Tanzania Gospel ni hawa waliopiga uzi mweupe na timu ya Wazo ni wenye uzi wa kijani


Wachezaji wakilumbana
Kocha wa timu ya Gospel Team akiwaelekeza wachezaji 
 Mashabiki wa Tanzania Gospel Team wakichukua matukio
Kazi ikiendele


Mr. Kisaka akitoka uwanjani
Mwimbaji wa Glorious Celebration, Emmanuel Mabisa (kulia) hakukosa uwanjani

Ukitaka video za mechi zinachochezwa na Gospel team unaweza kuwasiliana na bloggger, Rulea Sanga kwa simu +255 715 851523 au kwa email: rumatz2012@gmail.com

Comments