Skip to main content

RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MUNGU ANAPENDA UPENDO-RAIS JK AMJULIA HALI BIBI KIKONGWE MWENYE UMRI WA MIAKA 85 KATIKA KIJIJI CHA MSOGA

Inaleta matumaini na faraja hasa pale unapotembelewa na mtu nyumbani kwako. JK Kikwete alijua hilo na akaona ni vizuri kukaa na huyu Bibi na kubadilishana mawazo. Je, umefanya kwa wazee wangapi toka unazaliwa?

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Bibi Antonia Mbagalla (85) katika kijiji cha Msoga, kata ya Chalinze Wilayani Bagamoyo wakati wa mapumziko ya mwisho wa wiki jana (Jumapili).Picha na Freddy Maro-IKULU

Comments