Mwandishi: Rulea Sanga
RUMA AFRICA inawapa pongezi kubwa sana kwa wapenzi wa FOF kwa zoezi lao kubwa la kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji, vichekesho na pia kujuana wapendwa kwa wapendwa. Tumefurahi sana na Mungu azidi kuibariki FOF kwa juhudi zake. Mungu awalinde wabeba maono na waanzilishi wa FOF Tanzania na kuwapa ubunifu zaidi.
Kutoka na taarifa tulizopata kutoka katika mitandao mbalimbali wanasema FOF ya mwezi huu ilikuwa babu kubwa sana, watu walibarikiwa sana kimwili na kiroho. Tumeambiwa kulikuwa na mishikaki ya kutosha na vinywaji vingi. Pia Neno la Mungu halikukosekana mahali pale.

Wadau wa FOF walipata mishikaki
FOF inazidi kupaa na kuendelea mbele.
RUMA AFRICA bado iko katika kilio chake kwako wewe ambaye hupendi ku-support kazi ya Mungu. Watu wanatumia fedha zao na akili zao kukuandalia mazingira kwaajili yako wewe kuja kumtukuza Mungu, lakini cha kusikitisha hufiki. Tunakuomba unaposikia kuwa kuna mikutano au matamsha, hudhuria basi ili kazi ya Mungu isonge mbele. Kama ni kijana ni wakati wako wa kufanya kazi ya Mungu, ukizeeka utakuwa na majukumu mengi ya kifamilia na utakosa hata muda wakufika katika matamasha. Vijana changamkeni kufanya kazi ya Mungu. Kuweni wabunifu kwa kuleta vitu vipya tena ikiwezekana zaidi ya FOF
Ngoja tuone kilichotokea huko Mbeya

Wanambeya Bwana asifiwe

"Tunashukuru FOF, leo mashavu lazima yarudi katika hali yake ya kawaida" Mchekesahaji Chavala (kulia) akipata chakula cha nguvu

Mchungaji Matty kulia akiteta jambo na mdau wa FOF

Pozz la Kwaito

Ze comedian Cahvala akifanya vitu vyake
Dancing Time FoF Arusha
Hii ni Mojawapo ya groups zikishiriki michezo ndani ya FoF

Vipi mpiga picha nikuachie kipande...?
Bavuma Sijui ndo alikuwa asimamizi ama anadokoa

Band Ikienda Sawa
RUMA AFRICA inawapa pongezi kubwa sana kwa wapenzi wa FOF kwa zoezi lao kubwa la kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji, vichekesho na pia kujuana wapendwa kwa wapendwa. Tumefurahi sana na Mungu azidi kuibariki FOF kwa juhudi zake. Mungu awalinde wabeba maono na waanzilishi wa FOF Tanzania na kuwapa ubunifu zaidi.
Kutoka na taarifa tulizopata kutoka katika mitandao mbalimbali wanasema FOF ya mwezi huu ilikuwa babu kubwa sana, watu walibarikiwa sana kimwili na kiroho. Tumeambiwa kulikuwa na mishikaki ya kutosha na vinywaji vingi. Pia Neno la Mungu halikukosekana mahali pale.

Wadau wa FOF walipata mishikaki
FOF inazidi kupaa na kuendelea mbele.
RUMA AFRICA bado iko katika kilio chake kwako wewe ambaye hupendi ku-support kazi ya Mungu. Watu wanatumia fedha zao na akili zao kukuandalia mazingira kwaajili yako wewe kuja kumtukuza Mungu, lakini cha kusikitisha hufiki. Tunakuomba unaposikia kuwa kuna mikutano au matamsha, hudhuria basi ili kazi ya Mungu isonge mbele. Kama ni kijana ni wakati wako wa kufanya kazi ya Mungu, ukizeeka utakuwa na majukumu mengi ya kifamilia na utakosa hata muda wakufika katika matamasha. Vijana changamkeni kufanya kazi ya Mungu. Kuweni wabunifu kwa kuleta vitu vipya tena ikiwezekana zaidi ya FOF
Ngoja tuone kilichotokea huko Mbeya
Wanambeya Bwana asifiwe
"Tunashukuru FOF, leo mashavu lazima yarudi katika hali yake ya kawaida" Mchekesahaji Chavala (kulia) akipata chakula cha nguvu
Mchungaji Matty kulia akiteta jambo na mdau wa FOF
Pozz la Kwaito
Ze comedian Cahvala akifanya vitu vyake
Dancing Time FoF Arusha
Hii ni Mojawapo ya groups zikishiriki michezo ndani ya FoF
Vipi mpiga picha nikuachie kipande...?
Bavuma Sijui ndo alikuwa asimamizi ama anadokoa
Band Ikienda Sawa
Comments