MAMA ALIYEAMBIWA NA MADAKTARI KUWA MWANAE AMEFIA TUMBONI ASHANGAA NA KULIA BAADA YA NABII FLORA PETER KUMUOMBEA NA HATIMAYE MTOTO KUCHEZA TUMBONI MWA MAMAE
NABII FLORA PETER: "Ndugu
msomaji wangu nina kila sababu ya kukusalimu kwa Jina la Yesu Kristo.
Ninamshukuru Mungu mimi ni mzima wa afya na Mungu anazidi kulinda huduma yetu
hii ya uponyaji na maombezi hapa kanisani kwetu Mbezi Salasala. Mungu
amekuwa mwema sana katika huduma yetu hii kwani kuna watu wengi wameweza
kupona, kufarijiwa, kufundishwa Neno la Mungu, kubarikiwa, kurudishiwa
watoto wao au ndugu zao waliokufa na kupotea katika mazingira ya
kutatanisha, vichaa wamepona, viziwi wamesikia, waliofiwa na watoto wao
matumboni wamefufuliwa.
Kwa kweli ni mengi Mungu anafanya katika kanisa hili la Yesu Kristo"
Leo kulikuwa na mama ambaye aliambiwa na madaktari kuwa mwanae
aliye tumboni amekufa na ana siku tatu tumboni akiwa amekufa. mama huyu
aliamua kuja hapa kanisani na alifika mida ya saa 9 mchana leo 25.04.2013 na alipoona
na mimi Nabii Flora nilimuombea na baada ya muda mfupi mtoto aliweza
kucheza tumboni mwa mama yake. Tunatawaletea ushuhuda huu katika facebook.
Youtube na hata katika blogu yetu ya www.nabiiflora.blogspot.com.
MUNGU NI MWEMA KABISA
MUNGU NI MWEMA KABISA
HUYU NDIYE MAMA ALIYEAMBIWA NA MADAKTARI KUWA MWANAE AMEFIA TUMBONI
Mama akimweleza Nabii Flora tatizo lake
Mama akilia wakati nabii Flora akimtabiria
Mama akiwa na mume wake wakimsikiliza nabii Flora
Mama akiombewa na Nabii Flora
Mume
wake akiwa na Furaha baada ya mtoto kucheza tumboni mara tu nabii Flora
alipomaliza kuomba na kumwambia azunguke kanisa mara ishirini
Unaweza kutupata katika blogu yetu www.nabiiflora.blogspot.com
Facebook: Nabii Flora Peter
Youtube: www.youtube.com/nabii Flora Peter
Unaweza kutupata katika blogu yetu www.nabiiflora.blogspot.com
Facebook: Nabii Flora Peter
Youtube: www.youtube.com/nabii Flora Peter
Comments