RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

TUJIKUMBUSHE THE VOICE KUTIMIZA MIAKA 19 YA KUUNDWA KWAO


Kundi la The Voice siku ya Jana limetimiza miaka 19 na kurekodi Live DVD katika Kanisa CCT pale chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam.
Katika anniversary hiyo iliyofana siku ya jana The Voice walifana sana na kukonga nyoyo za wahudhuriaji ambao walikuwa wamefurika ndani na nje ya ukumbi.
Bomby Johnson akiwa kwenye performance
Baadhi Ya wadau ndani ya Ukumbi
Music Director SamYona
Ma Mc wa Event Harris Kapiga na Papaa Ze blogger

Kikazi zaidi

Source: Samsasali

Comments