RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

DHU..!!!! SIKU ZINAYOYOMA KUFIKIA TAMASHA LA UZINDUZI WA ALBAMU YA MESS JACOB CHENGULA..MUNGU HABADILIKI



Huwezi amini jinsi siku zinavyoyeyuka na tarehe zinavyokimbia kufikia ile siku inayosubiriwa na walio wengi katika kuzindua albamu ya mtumishi wa Mungu Mess Jacob Chengula katika ukumbi tulivu wa wastarabu UBUNGO PLAZA hapa Bongo.

Mess Jacob Chengula
Siku hiyo hapatakalika kabisa kwa maana kutawashwa moto na waimbaji zaidi ya 20 watakaovamia jukwaa moja. Unachotakiwa sasa ni kuweka pembeni kiingilio chako cha Tsh. 10,000 kwa VIP na Tsh 5,000 kwa viti maalumu ili siku hiyo ya tarhe 02 Machi 2014 utumbukie katika eneo la maajabu ya Mungu. Sikia hiyo utasahau shida zako na kufunikwa na wingu la Mungu kwa kupitia uimbaji.
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/05/makamba.jpeg
Naibu Waziri wa Mawasiliano Januari Makamba atakuwa mgeni rasmi siku hiyo.




Comments