RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MASANJA MKANDAMIZAJI KUTUMIA GARI LA THAMANI NI MUUIJIZA KWAKE, ASEMA

Masanja Mkandamizaji ambae anatajwa kuwa miongoni mwa wachekeshaji wachache wa Tanzania waliofanikiwa kimaisha, amesema ‘Mungu wangu ni mzuri, asante Mungu kwa kunipendelea… usafiri huu kwangu ni muujiza’

Comments