MASHARTI: Jibu maswali yote bila ya kusoma Biblia au kuangalia majibu yaliyoandaliwa hapo chini. Ukifanya vinginevyo utakuwa umetenda dhambi.
MSIMAMIZI WA CHEMSHA BONGO: Yesu Kristo, Mungu na Roho Mtakatifu. Ninakuomba usiangalizie mpaka umemaliza maswali yote. Tutumia kwa Watsap majibu yako kwa namba hii +255 715 851 523.
MTUNZI: Rumafrica For All Nations
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhowXlWUi8_hPSTAEpuaFrKWQIK53XJumgFr9AizPSMvBdFsA7D5reSQvt5FTudevoJS0C3BhSGYPgD6jPRGxRXlfhmHTKqQv8Kjqdx9le5z_kcxoC0QLChDAgWhlezOcuLXSupuEf2GFTj/s1600/IMG-20150313-WA0020.jpg)
SarahMvungi - Mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania, MC, Mwinjilisti, Mwigizaji wa Filamu, Nesi wa TMJ Dar es Salaam Tanzania. Wasiliana naye kwa simu +255 717 308 282
MASWALI
MSIMAMIZI WA CHEMSHA BONGO: Yesu Kristo, Mungu na Roho Mtakatifu. Ninakuomba usiangalizie mpaka umemaliza maswali yote. Tutumia kwa Watsap majibu yako kwa namba hii +255 715 851 523.
MTUNZI: Rumafrica For All Nations
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhowXlWUi8_hPSTAEpuaFrKWQIK53XJumgFr9AizPSMvBdFsA7D5reSQvt5FTudevoJS0C3BhSGYPgD6jPRGxRXlfhmHTKqQv8Kjqdx9le5z_kcxoC0QLChDAgWhlezOcuLXSupuEf2GFTj/s1600/IMG-20150313-WA0020.jpg)
SarahMvungi - Mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania, MC, Mwinjilisti, Mwigizaji wa Filamu, Nesi wa TMJ Dar es Salaam Tanzania. Wasiliana naye kwa simu +255 717 308 282
MASWALI
- Taja mji ambao Yesu na wanafunzi wake pamoja na mama yake walialikwa katika arusi?
- Mama yake Yesu alimuomba nini Yesu pale arusini afanyiwe baada ya kuona wenyeji wametindikiwa?
- Yesu alitumia nini kupata divai pale arusi katika mji wa Galilaya huko Kana?
- Mabalasi aliyotumia Yesu Kristo kupata Divai yalitumika kama nini kwa Wayahudi?
- Yesu aliwaambia wanafunzi wafanye nini kupata Divai kwa kutumia mabalasi, na wampelekee nani ayaonje?
- Mkuu wa meza alimwambia nini bwana arusi juu ya divai iliyogeuzwa Yesu kutoka mabalasi na kuwa divai?
- Siku ya Pasaka ilivyokaribia Yesu alikwea kuelekea wapi?
- Vitu gani Yesu aliviona alipokwea kuelekea Yerusalemu?
- Yesu aliwaambia nini wale waliokuwa wakifanya biashara katika hekalu?
- Yesu aliwaambia ni muda ngapi alitalijenga hekalu la Baba baada ya kulivunja?
- Wayahudi walimwambia Yesu ni kwa muda gani wanafikiri Yesu angelijenga hekalu baada ya kulibomo)
- Yesu alikuwa akimaanisha nini juu ya kulijenga hekalu la Baba baada ya kulibomoa?
- Kwanini Yesu hakujiaminisha kwa Wayahudi hasa kipindi kile cha pasaha na hakutaka kushuhudia habari za wanadamu?
- Mji wa Galilaya huko Kana (Yohana 2:1)
- Divai(Yohana 2:3)
- Mabalasi sita ya mawe (Yohana 2: 6)
- Kutawadha kutokana na desturi ya Wayahudi (Yohana 2:6)
- Wajalize mabalasi maji, wampelekee mkuu wa meza ayaonje (Yohana 2:8-9)
- Kila mtu wa kwanza huandaa divai iliyo njema, hata watu wakishakunywa sana ndipo huleta iliyo dhaifu, Wewe umeweka divai njema hata sasa. (Yohana 2:10)
- Yerusalem (Yohana 2:13)
- Aliona pale hekaluni watu waliokuwa wakiuza ng'ombe na kondoo na njiwa na wengine kuvunja fedha za wenye kuvunja fedha. (Yohana 2:14-16)
- Yaondoeni haya msifanye nyumba ya Baba yangu nyumba ya biashara. (Yohana 2:16)
- Siku tatu (Yohana 2:19)
- Miaka 46 (Yohana 2:20)
- Alimaanisha hekalu la mwili wake (Yohana 2:21)
- Yesu aliwajua wote (Wayahudi) nia yao kwa maana Yeye mwenyewe alijua yaliyo ndani ya mwanadamu (Yohana 2:24)
Comments